• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ugonjwa wa Selimundu Kupatiwa Utambuzi Geita

Posted on: December 5th, 2025


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Dkt.Elfas Msenya amesema Taasisi ya Tanzania sicklecell warriors (TASIWA) kupitia mradi wake wa KETAN utaboresha maisha ya Watu wanaoishi na ugonjwa wa Selimundu( Sicklecell Anaemia) katika Halmashauri zote za Mkoa wa Geita.

Dkt. Msenya ameyasema hayo Desemba 03,2025 wakati wa hafla fupi ya ufunguzi wa mradi wa KETAN Uliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita. Watenge Bajeti kwa wale wote Watakaobainika wanaugonjwa huo wapewe Bima za Afya Ili ziwasaidie kwenye matibabu Yao.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita ametoa ushauri kwa Taasisi ya TASIWA kutenga bajeti ya kuwahudumia watu watakaobainika kuwa na ugonjwa huo na kuwawezesha kupata kadi za Bima ya afya wagonjwa wote na sio kuwapa baadhi ya wagonjwa wachache.

Dkt. Msenya ameieleza Taasisi hiyo kuwa ratiba zao za kutoa elimu kwa jamii zitakapoanza wawaelimishe wananchi watambue  kuwa Ugonjwa huo sio laana wala hauambukizwi,sio ushirikina na hautokani na mzazi mmoja bali ni ugonjwa wa kurithi.

Kaimu Katibu Tawala ametoa wito kwa TASIWA kuziwezesha familia zilizoathiriwa na sikoseli kupatiwa msaada wa bima za afya,Uchumi na kijamii pamoja na kupatiwa ushauri nasaha Ili kuweza kuishi na watu wenye ugonjwa huo bila kuwanyanyapaa. Pia ameziagiza Halmashauri zote za Mkoa wa Geita kutenga bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ili baada ya miaka miwili mkataba wa wahisani utakapomalizika baada ya miaka miwili mradi huo usisimame.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa TASIWA Pascazia Mazenze ameeleza lengo la kuuleta mradi huo mkoani Geita limetokana na kutokuwepo kwa taarifa ya wagonjwa wa sikoseli,mradi huu utaibua wagonjwa,utatoa bima za afya kwa wagonjwa 300, na kutoa elimu kwa Jamii ya Geita kwa Kutumia redio na televisheni Ili kuondoa dhana potofu kwa Jamii dhidi ya wagonjwa wa sikoseli.

Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto na Mtaalamu wa Sikoseli Hospitali ya Rufaa ya kanda Bugando Dkt. Emmanuela Ambrose amesema kuwa ana imani Wizara ya Afya itausimamia Vizuri mradi kama inavyosimamia miradi mingine na utaleta matokeo chanya yenye kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa wa sikoseli katika Jamii.

Kwa upande wake msimamizi wa huduma za maabara kutoka ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Idrissa Hassan amesema Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI wana jukumu la kuwezesha utekelezaji wa sera na kuwezesha mafanikio ya TASIWA Ili huduma hizi ziwe endelevu na kuleta matokeo chanya katika Jamii.

Akizungumza kwa niaba ya Waganga wakuu wa Halmashauri zote za Mkoa wa Geita ,Mganga Mkuu wa Manispaa ya Geita Dkt.Sunday Mwakyusa amesema maelezo yaliyotolewa na wizara ya Afya yatatekelezwa na kuhakikisha Mkoa wa Geita unatoa taarifa sahihi pia Halmashauri zitatenga bajeti  kwa kushirikiana na wadau wa afya Ili mradi huu uwe endelevu.





Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Serikali Yatatua Mgogoro Mgodi wa Msasa

    February 04, 2026
  • Watumishi Waaswa Kuacha Utendaji Kazi wa Mazoea

    January 26, 2026
  • Wananchi Geita Wahamasishwa Kuwekeza

    January 22, 2026
  • Ushirikiano wa Walimu na Wazazi Waongeza Ufaulu Nyang'hwale

    December 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

MAKALA YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • yamitoto
  • situs toto
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto 4d
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • situs toto