• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mamlaka za Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“Twendeni tukatoe Elimu ya kupambana na Ugonjwa huu.”

Posted on: April 3rd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel Machi 30, 2020 ametangaza Juma la maombi maalumu ya Kuliombea Taifa kwa Mwenyezi Mungu kutuepusha na janga la Ugonjwa hatari wa Homa ya Mapafu unaosababishwa na Virusi vya Corona na yatahitimishwa Jumapili ya Tarehe 05, April 2020 ambapo Viongozi wa Madhehebu ya dini watakutana kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Mji (GEDECO) kwa Dua na Sala.

Wakati huohuo, Mkoa wa Geita waunda kikosi kazi Maalum kupambana na Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 unaosababishwa na Virus vya Corona ambapo Mganga Mkuu wa Mkoa atawaongoza Wajumbe kumi na tano wanakotoka sekta mbalimbali Mkoani hapa huku Afisa Afya Mkoa atakua Katibu.

Aidha, Mganga Mkuu wa Mkoa Japhet Simeo amewasihi viongozi wa Madhehebu ya Dini kuelimisha Jamii juu ya Kubadili tabia na kuhakikisha wananawa mikono mara kwa mara, kuepuka kukaa sehemu zenye misonamano na kutakasa mikono wanaposafiri ili kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa huo.

“Twendeni tukatoe elimu ya kupambana na Ugonjwa huu, tusirudi nyuma kwenye hili na Mungu baba atawasimamia”. Alisema Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Aidha, Askofu Stephano Saguda kwa niaba ya Madhehebu ya dini ya Kikristo alimhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa wao kama wakristo watahakikisha Jamii inapata Elimu waliyopewa na Mganga Mkuu na kwamba wataitoa kila mara wanapokutana na waumini wao.

Wakati huohuo, Shekhe Kabaju kwa niaba ya Waislamu Mkoa wa Geita alimshukuru Mkuu wa Mkoa na akamuahidi kuwa elimu walioipata kwenye wito huo ni jambo jema kwa Maisha ya wananchi wa Geita na kwamba atahakikisha anaifikisha kwenye misikiti yote ili waumini waipate kwa wakati.

Matangazo

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Amemuapisha Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Staki Senyamule Tarehe 19 Mei 2021 May 19, 2021
  • Vigezo vya Udhamini, Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji Kwenye Sekta ya Madini Mkoani Geita August 06, 2019
  • Matokeo Darasa la Nne Mkoa wa Geita January 11, 2018
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA -2018, MKOA WA GEITA December 11, 2017
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • “Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

    May 21, 2022
  • “Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

    May 21, 2022
  • “Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

    May 21, 2022
  • “Wananchi Tutumie Fursa ya Mzigo Flexi ya CRDB”. Asema RC Senyamule

    May 20, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mwaliko Jukwaa la Fursa za Biashara Mkoani Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa