• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

STAMICO NA PLANTCOR ZAPONGEZWA KWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

Posted on: February 25th, 2026


Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa ametoa pongezi kwa  Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na Kampuni ya Plantcor Mining and Plant Hire (Pty) Ltd kutoka Nchini Afrika Kusini kwa kuingia makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa utafiti na uchimbaji wa madini ya dhahabu katika eneo la Kigosi, Wilayani Bukombe, Mkoani Geita.

Naibu Waziri wa Madini ametoa pongezi hizo tarehe 24 Februari 2026 alipokuwa akishuhudia hafla ya utiaji saini Mkataba wa Mashirikiano baina ya Shirika la Madini la Taifa na Kampuni hiyo ya utafiti na uchimbaji wa Dhahabu katika leseni ya Kigosi, shughuli iliyofanyika katika Mji mdogo wa Ushirombo Wilayani Bukombe.

Dkt. Kiruswa ametoa agizo kwa Menejimenti ya STAMICO kushirikiana kwa karibu na Plantcor ili kuhakikisha mradi unasimamiwa kwa weledi, uwazi na kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa. Vilevile, amewataka wawekezaji hao kutimiza ahadi zote za uwekezaji, uhamishaji wa teknolojia na kuzingatia Sheria za nchi ili mradi huo uwe mfano bora wa ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi.

“ Baada  ya kukamilika kwa utafiti wa kijiolojia, Plantcor itawasilisha taarifa za kina za maeneo yanayozunguka mradi wa Kigosi ili kuwawezesha wachimbaji wengine wenye leseni katika eneo hilo kunufaika na taarifa hizo kwa maendeleo ya shughuli zao. Hatua hii itafanya mageuzi makubwa katika uchimbaji Dhahabu kwa kutumia vipimo vya kiteknolojia.” Aliongeza Dkt. Kiruswa.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela amesema kuwa Mkoa wa Geita umejaliwa kuwa na hifadhi kubwa ya Madini ya Dhahabu na kutoa shukrani za dhati kwa Shirika la Plantcor kwa kuchagua kuja kuwekeza katika Mkoa wa Geita na kuahidi kushirikiana nao kikamilifu katika utekelezaji wa majukumu yao.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa Dkt. Venance Mwasse ameeleza kuwa faida zitakazopatikana kutokana na ushirikiano huo ni pamoja na kuzalisha na kuongeza ajira kwa watanzania, kukuza uchumi wa maeneo yote yanayozunguka eneo la Kigosi, kuongeza mapato ya Nchi na upatikanaji wa Teknolojia ya kisasa itakayoletwa na wawekezaji hao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Plantcor, Joseph Wilmans ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira mazuri ya kuwakaribisha wawekezaji katika Nchi ya Tanzania na kubainisha kuwa kampuni yake imeleta utaalamu wa kiteknolojia na kifedha utakaosaidia kuongeza uzalishaji na ajira kwa Watanzania.

Ndg. Joseph Wilmans ameongeza kuwa Kampuni ya Plantcor ina uzoefu wa zaidi ya miongo miwili katika shughuli za madini kuanzia utafiti, uchimbaji, uchenjuaji hadi usambazaji wa bidhaa sokoni utakaowezesha sekta ya Madini kuzidi kukua kiuchumi.

Mkataba uliosainiwa unalenga kuvutia utafiti wa kina na kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika uchimbaji wa Dhahabu ndani ya leseni saba zinazomilikiwa na STAMICO katika eneo la Kigosi. Pia STAMICO inaendelea kuwa lango la kuvutia mitaji na teknolojia za kisasa kwa manufaa ya Taifa.

Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • STAMICO NA PLANTCOR ZAPONGEZWA KWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

    February 25, 2026
  • E- Mrejesho Kutatua Changamoto za Wananchi

    February 14, 2026
  • Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

    February 13, 2026
  • Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

    February 13, 2026
  • Tazama Zote

Video

MAKALA YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • yamitoto
  • situs toto
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto 4d
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • situs toto
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77
  • situs toto
  • wdbro
  • wdbro
  • axl777
  • wdbro
  • wdbro
  • wdbro
  • wdbro
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • dora77
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต
  • ทดลองเล่นสล็อต