• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mamlaka za Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

Posted on: May 21st, 2022

Ikiwa umetimia mwaka mmoja tangu kuteuliwa na kuapishwa kwake, mkuu wa mkoa wa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amewataka watumishi wa ofisi anayoiongoza kufanya kazi kwa bidii akiwahusia kufanya kazi zote bila kubagua pale wanapopata fursa ya kuzifanya kwani kwa kufanya hivyo itawajengea nafasi nzuri ikiwa wanayo nia na ndoto ya kukua kiutumishi.

Ameyaeleza hayo Mei 20,2022 alipoketi na kuzungumza na watumishi wa ofisi hiyo kwa lengo la kusikiliza kero, maoni, ushauri na pongezi kwa serikali kama ilivyo utamaduni wake hata kwa wanachi huku akiwataka watumishi hao kutambua thamani ya nafasi na dhamana waliyonayo lakini pia matajario ya mwajiri wao ambaye ni serikali na kusisitiza namna ilivyo na hadhi ya juu miongoni mwa waajili wengi.

“pongezi kwetu kwa kuhamia jengo jipya la ofisi yetu, huu ni ujasiri na tumshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa ofisi za umma ikiwemo hii. Pili napenda mtambue yakuwa, serikali yetu ndiye mwajili aliye bora kuliko wengine kutokana na namna anavyotutendea watumishi. Vilevile niwakumbushe kuwa mabalozi wema wa mema yanayofanywa na serikali kwa kuwa mambo mengi mazuri yamefanyika na tuendelee kuwa waadilifu”. Alisema Mhe.Senyamule.

Alimaliza kwa kuwakumbusha watumishi kupenda kujiendeleza kitaaluma, kuwa wabunifu katika utendaji kazi, kupendana, kushirikiana, na kwamba serikali itaendelea kuwajali na ndiyo maana Mhe.Rais ameongeza mshahara hivyo watambue kuwa serikali inawapenda na inatamani wananchi wake waendelee kuifurahia.

Naye Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ngd.Herman Matemu alimshukuru Mhe.Senyamule kwaniaba ya Watumishi wa ofisi hiyo akiahidi kutekeleza na kufanyia kazi maelekezo yote yaliyotokana na kikao hicho, kisha kumuomba mkuu wa mkoa aendelee kutoa ushauri wake kila wakati atakapokuwa ameona jambo la kushauri.

Awali, watumishi mbalimbali walitoa maoni, ushauri na pongezi kwa serikali kwa namna inavyoendelea kuwajali watumishi na kumshukuru Mhe.Rais kwa kupandisha mishahara wakisema, "Asante Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan".

Imeandaliwa na:

Boazi Mazigo

Ag.HGCU

Geita RS



Matangazo

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Amemuapisha Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Staki Senyamule Tarehe 19 Mei 2021 May 19, 2021
  • Vigezo vya Udhamini, Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji Kwenye Sekta ya Madini Mkoani Geita August 06, 2019
  • Matokeo Darasa la Nne Mkoa wa Geita January 11, 2018
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA -2018, MKOA WA GEITA December 11, 2017
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • “Maji Hayana Mbadala, Tutunze Chanzo cha Mto Nikonga”. Asema RC Geita

    June 26, 2022
  • Kuelekea Wiki ya Samia, RC Geita Akabidhi Pikipiki kwa Maafisa Ushirika

    June 24, 2022
  • Kuelekea Wiki ya Samia, RC Geita Akabidhi Pikipiki kwa Maafisa Ushirika

    June 24, 2022
  • Kuelekea Wiki ya Samia, RC Geita Akabidhi Pikipiki kwa Maafisa Ushirika

    June 24, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mwaliko Jukwaa la Fursa za Biashara Mkoani Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa