• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mamlaka za Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Sasa ni Mchakamchaka Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Geita.

Posted on: January 20th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amewataka watendaji wa serikali ndani mkoa huo kuhakikisha wanafanya kazi kwa kasi na kwa ufanisi lengo ikiwa ni kumaliza miradi yote inayoletewa fedha nyingi na serikali ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Hayo yameelezwa leo januari 20, 2022 na mkuu wa mkoa huyo wakati akifungua na kufunga kikao kazi kilichoandaliwa kujadili na kuweka mikakati mbalimbali ya mkoa juu ya kuimarisha miradi ya Mpango wa Kuboresha Elimu ya Sekondari Nchini (SEQUIP) kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa kilichowahusisha watendaji wa halmashauri kuweka huku akisisitiza mambo kadhaa ikiwemo kuhimiza wazazi kupeleka watoto shuleni, ukusanyaji wa mapato, usafi wa mazingira na mengineyo

“kwanza tuendelee kumshukuru mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazoendelea kuzitoa Geita na niwapongeze kwa utekelezaji wa ujenzi wa madarasa ambao tumeshiriki kutekeleza kwa kasi na kufanikisha wanafunzi kuanza shule kwa pamoja, lakini pia niwahimize juu ya kwenda mchakamchaka kwenye utekelezaji miradi mingine tuliyonayo, tuhimize wazazi kuwapeleka watoto shule, tukusanye mapato, tufanye usafi kwenye miji yetu lakini tujitahidi tusirudie makosa ya nyuma kwenye utekelezaji miradi inayokuja” alisema Mhe.Senyamule.

Kabla ya ufunguzi wa kikao hicho cha kuweka mikakati, katibu tawala mkoa wa geita Bw.Musa Chogero alisema, kikao hicho kimekuja wakati muafaka hivyobasi ni muhimu kwa watendaji kutambua ya kwamba Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan ametoa na anaendelea kutoa fedha nyingi ili kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi, hivyo kuwasihi kutumia fursa hiyo kujipanga kutekeleza maelekezo na maagizo ya kikao hicho.

Nao wajumbe wa kikao hicho ambao pia ni watendaji wa serikali wameshukuru kwa maelekezo na kuahidi kuyatekeleza ili kuleta ufanisi kwa mkoa na taifa kwa ujumla.


Matangazo

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Amemuapisha Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Staki Senyamule Tarehe 19 Mei 2021 May 19, 2021
  • Vigezo vya Udhamini, Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji Kwenye Sekta ya Madini Mkoani Geita August 06, 2019
  • Matokeo Darasa la Nne Mkoa wa Geita January 11, 2018
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA -2018, MKOA WA GEITA December 11, 2017
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • “Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

    May 21, 2022
  • “Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

    May 21, 2022
  • “Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

    May 21, 2022
  • “Wananchi Tutumie Fursa ya Mzigo Flexi ya CRDB”. Asema RC Senyamule

    May 20, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mwaliko Jukwaa la Fursa za Biashara Mkoani Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa