• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI KITAIFA YAZINDULIWA GEITA

Posted on: October 12th, 2017

MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI KITAIFA YAZINDULIWA MKOANI GEITA

Siku ya Chakula Duniani uadhimishwa kila tarehe 16 ya Mwezi Oktoba na nchi zote ambazo ni mwanachama wa Shirika la Chakula Duniani.Nchini Tanzania Kitaifa maadhimisho haya yamefanyika Mkoa wa Geita katika Uwanja wa CCM Kalangalala uliopo Halmashauri ya Mji Geita.

Akizungumza katika uzinduzi wa maadhimisho haya mgeni rasmi Mheshimiwa Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga Mkuu wa Mkoa wa Geita amewataka wananchi kuhudhuria katika mabanda mbalimbali ya maonyesho ili kupata elimu na kuona ubunifu unaotumiwa ili nao wakaongeze uzalishaji katika maeneo yao. "Ni mategemeo yangu kuwa wote mliofika hapa mtapata fursa ya kuangalia na kujifunza shughuli mbalimbali zinazofanywa na wakulima, wavuvi, wafugaji, wafanyabiashara, wajasiliamali na taasisi mbalimbali za umma na binafsi katika kuhakikisha Mkoa wetu unakuwa na usalama wa chakula na kuboresha uendelezaji wa sekta ya kilimo".

Katika hatua nyingine Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi kuacha tabia ya kuharibu misitu kwa kukata miti hovyo, kulima katika hifadhi kwa kuwa vyote hivi vina athari kubwa kwa mazingira hivyo kupelekea upungufu wa Chakula kutokana na uhaba wa mvua.

Lengo la kuwa na maadhimisho haya ni kuhamasisha jamii kuzalisha mazao mbalimbali ya chakula kwa tija ili kuwa na mavuno mengi yanayokidhi mahitaji ya wakazi wa Geita, Tanzania na Dunia kwa ujumla. Kaulimbinu ya maadhimisho kwa mwaka huu inasema ‘‘Badili mwelekeo wa uhamaji: Wekeza kwenye Usalama wa Chakula na Maendeleo Vijijini’’.

Maadhimisho haya yanatoa fursa ya kutambua mchango muhimu unaotolewa na wakulima wadogo wadogo, jamii za wavuvi na wafugaji katika maendeleo endelevu na katika kutimiza mkakati wa kutokomeza njaa kupitia mifumo endelevu ya chakula. Maadhimisho haya yanaangazia sehemu tatu za uendelevu, ambazo ni kiuchumi, kijamii na kimazingira, ikumbukwe kuwa mashamba ya kaya huleta pamoja sehemu zote tatu na kubwa zaidi ni kuhakikisha kunakuwepo na maendeleo ya kiuchumi na uhakika wa chakula.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa