• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Afya

Seksheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe

Lengo kuu la Seksheni hii ni Kukuza maendeleo na utoaji wa huduma za afya, hatua za kinga,
 ustawi wa jamii na lishe kwa Mkoa. Seksheni hii inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye pia ni Mganga Mkuu wa Mkoa, ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.


Majukumu ya Seksheni ya Afya

(i) Kuratibu na kushauri kuhusu utekelezaji wa sera za afya katika Mkoa.
 (ii) Kuratibu upangaji na utekelezaji wa huduma za afya, ustawi wa jamii na
 usafi wa mazingira katika Mkoa.
 (iii) Kuratibu usimamizi wa vituo vya afya katika Mkoa.
 (iv) Kufuatilia na kutathmini usimamizi wa huduma za afya zinazotolewa na Vituo vya kutolea huduma za afya vya umma
 na binafsi katika Mkoa.
 (v) Kutoa msaada wa kujenga uwezo kwa Halmashauri katika utoaji wa huduma za afya.
 (vi) Kushauri RS na Mamlaka za Serikali za Mitaa juu ya maandalizi na kukuza uwezo wa kupambana
 mlipuko wa maradhi.
 (vii) Kutoa ushauri kuhusu shughuli za VVU/UKIMWI katika Mkoa.
 (viii) Kukuza ushiriki wa jamii juu ya matumizi ya bima ya afya.
 (ix) Kutoa msaada wa kupambana na magonjwa ya milipuko yanapotokea katika Mkoa.
 (x) Kuratibu na kuhuisha data za afya, ustawi wa jamii na lishe
  kwa Halmashauri.
 (xi) Kutoa msaada wa kitaalamu kuhusu afua za lishe kwa Mamlakaza Serikali za Mitaa.
 (xii) Kuratibu huduma za afya ya kinga.
 (xiii) Kuwezesha na kuratibu masuala ya mazingira na usafi wa mazingira katika Mkoa.
 (xiv) Kuratibu upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na
 vifaa vya kutolea huduma za afya katika Mkoa.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa